Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Bukoba
(Government Hospital)

Our Services

Huduma ya Wagonjwa wa nje ni miongoni mwa huduma zinazotolewa katika Hospitali ya Rufaa  ya mkoa, Bukoba, huduma hii inatolewa masaa 24 kwa wiki

readmore

katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba huduma ya upsauaji inatolewa kwa kiwango cha hali ya juu  kutokana na kuwepo kwa daktari Bingwa wa Upasuaji ambao ushirikiana na madaktari wengine katika kuhakikisha huduma ya upasuaji inafanyika kwa weledi mkubwa...

readmore

Huduma hutolewa masaa 24 kwa wiki

readmore

Huduma hii inayotolewa hapa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba ni huduma nzuri na utolewa na madaktari bingwa wanaopatikana katika hospitali yetu.

readmore

Ni huduma bora ya kibingwa inayotolewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, utolewana na madaktari bingwa hususani katika siku ya Jumatatu na Ijumaa kuanzia majira ya saa 02: 30 asubuhi hadi saa 09:30 alasiri.

readmore

Ni huduma ya kibingwa inayotolewa na madaktari bingwa wenye uzoefu na weledi wanaopatikana katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, huduma hii utolewa siku jumanne ya kila wiki kuanzia majira ya saa 02:30 hadi 09:30 alasiri.

readmore

Ni huduma ya kibingwa inayotolewa na madaktari bingwa wenye uzoefu na weledi wanaopatikana katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, huduma hii utolewa siku Ijumaa ya kila wiki kuanzia majira ya saa 02:30 hadi 09:30 alasiri.

readmore

Ni huduma ya kibingwa inayotolewa na madaktari bingwa wenye uzoefu na weledi wanaopatikana katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, huduma hii utolewa siku ya  Jumatatu, Jumanne, Jumatano na Alhamisi  kila wiki kuanzia majira ya saa 02:30 hadi 09:30 ala...

readmore

Ni huduma ya inatoolwa na wataalamu wa masuala ya lishe katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, huduma hii inahusisha utoajiri waelimu kwa wananchi juu ya masuala yote yanayohusu lishe, huduma hii utolewa siku ya Jumatatu, Jumatano na Ijumaa kila wiki ...

readmore

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba inatoa huduma bora naya kisasa ya mahabara  katika upimaji wa sampuli za magonjwa mbalimbali kwa haraka. 

readmore