Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe, ameeleza kufurahishwa na uwepo wa mashine ya kisasa ya CT-Scan katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ambayo imewawezesha Madaktari katika h...Read more

Karibu Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba kwa huduma bora na za kibingwa kutoka kwa madaktari wenye ujuzi na ueledi wa kutoa huduma za kibingwa...
Read moreHuduma ya Wagonjwa wa nje ni miongoni mwa huduma zinazotolewa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa, Bukoba, huduma hii inatolewa masaa 24 kwa wiki
readmorekatika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba huduma ya upsauaji inatolewa kwa kiwango cha hali ya juu kutokana na kuwepo kwa daktari Bingwa wa Upasuaji ambao ushirikiana na madaktari wengine katika kuhakikisha huduma ya upasuaji inafanyika kwa weledi mkubwa...
readmoreHuduma hutolewa masaa 24 kwa wiki
readmoreHuduma hii inayotolewa hapa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba ni huduma nzuri na utolewa na madaktari bingwa wanaopatikana katika hospitali yetu.
readmoreMganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe, ameeleza kufurahishwa na uwepo wa mashine ya kisasa ya CT-Scan katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ambayo imewawezesha Madaktari katika h...Read more