Wananchi wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, wameendelea kuhamasishwa kujitokeza kwa wingi katika kambi maalum ya uchunguzi na matibabu ya afya ya macho inayoendeshwa katika Kituo cha Afya Nk...Read more


Kwa niaba ya familia ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Bukoba, napenda kuwakaribisha katika tovuti yetu na kushiriki nawe dhamira yetu kamili ya kutoa huduma ya kipekee, salama kwa wagonjwa na huduma ya huruma kwa wagonjwa wetu wote na familia zao. Utapata taarifa kuhusu huduma zetu za m...
Read moreHuduma ya Wagonjwa wa nje ni miongoni mwa huduma zinazotolewa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa, Bukoba, huduma hii inatolewa masaa 24 kwa wiki
readmorekatika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba huduma ya upsauaji inatolewa kwa kiwango cha hali ya juu kutokana na kuwepo kwa daktari Bingwa wa Upasuaji ambao ushirikiana na madaktari wengine katika kuhakikisha huduma ya upasuaji inafanyika kwa weledi mkubwa...
readmoreHuduma hutolewa masaa 24 kwa wiki
readmoreHuduma hii inayotolewa hapa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba ni huduma nzuri na utolewa na madaktari bingwa wanaopatikana katika hospitali yetu.
readmore
Wananchi wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, wameendelea kuhamasishwa kujitokeza kwa wingi katika kambi maalum ya uchunguzi na matibabu ya afya ya macho inayoendeshwa katika Kituo cha Afya Nk...Read more



