Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Bukoba
(Government Hospital)

Huduma ya Masikio, Pua na Koo

Posted on: April 28th, 2024

Ni huduma bora ya kibingwa inayotolewa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, utolewana na madaktari bingwa hususani katika siku ya Jumatatu na Ijumaa kuanzia majira ya saa 02: 30 asubuhi hadi saa 09:30 alasiri.