Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe, ameeleza kufurahishwa na uwepo wa mashine ya kisasa ya CT-Scan katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ambayo imewawezesha Madaktari katika h... Read More

Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe, ameeleza kufurahishwa na uwepo wa mashine ya kisasa ya CT-Scan katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera ambayo imewawezesha Madaktari katika h... Read More
Wananchi wametakiwa mkoani Kagera wamatakiwa kufika katika kituo cha afya mapema pale wanapohisi kuwa dalili zalisizokuwa za kawaida. Rai hiyo imetolewa leo Januari 24, 2025 na Mganga M... Read More
Madaktari Bingwa wa Sikio, Pua na Koo (ENT) wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba Kagera kwa kushirikiana na timu ya wataalamu wa usingizi wamefanikiwa kumuokoa mtoto wa miaka minne (4) aliy... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba leo tarehe 6 Januari 2025, imepokea ugeni wa Maafisa wa Bohari ya Dawa (MSD) kutoka makao makuu wakishirikiana na MSD Kanda. Ziara hiyo ni sehemu ya m... Read More
Serikali kupitia Wizara ya Afya imepanga kujenga jengo maalum la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera, Bukoba, ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kuboresha huduma za afy... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba (BUKOBA_RRH) imeanza rasmi kutoa Huduma ya matibabu, upasuaji na kliniki kwa watoto wenye matatizo ya kichwa kujaa maji isivyo kawaida na mgongo wazi... Read More
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba (Bukoba_RRH) imeshiriki maonyesho ya Biashara, Viwanda, Utalii na Bidhaa za Kilimo yanayoendelea katika viwanja vya CCM Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera kw... Read More
Kambi ya siku tano ya matibabu ya upasuaji wa Fistula na msamba imeanza rasmi siku ya leo tarehe 20.05.2024 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba. Kambi hiyo inaendeshwa na timu ya ... Read More
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajati Fatma Mwassa amewasihi wananchi wa Mkoa wa Kagera kuendelea kuchangamkia fursa ya kufika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba (BRRH) kwa ajili ya kupima na kuchun... Read More
Daktari Bingwa Mbobezi wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dr. Nicephorerus Rutabasibwa ameitembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba (BRRH) na kutoa pongez... Read More