Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Bukoba
(Government Hospital)

Huduma ya kliniki ya mifupa.

Posted on: February 19th, 2025

Ni huduma ya kibingwa inayotolewa na madaktari bingwa wenye uzoefu na weledi wanaopatikana katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, huduma hii utolewa siku jumanne ya kila wiki kuanzia majira ya saa 02:30 hadi 09:30 alasiri.