Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Bukoba
(Government Hospital)

Huduma ya magonjwa ya macho

Posted on: January 26th, 2025

Ni huduma ya kibingwa inayotolewa na madaktari bingwa wenye uzoefu na weledi wanaopatikana katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba, huduma hii utolewa siku ya  Jumatatu, Jumanne, Jumatano na Alhamisi  kila wiki kuanzia majira ya saa 02:30 hadi 09:30 alasiri.