Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Bukoba
(Government Hospital)

Huduma ya Upasuaji

Posted on: April 26th, 2024

katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba huduma ya upsauaji inatolewa kwa kiwango cha hali ya juu  kutokana na kuwepo kwa daktari Bingwa wa Upasuaji ambao ushirikiana na madaktari wengine katika kuhakikisha huduma ya upasuaji inafanyika kwa weledi mkubwa.