Huduma ya Upasuaji
Posted on: January 29th, 2023katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Bukoba huduma ya upsauaji hutolewa kwa kiwango cha hali ya juu sana kwa sababu ya kuwepo kwa Daktri Bingwa wa Upasuaji ambaye hushirikiana na Madaktari wengine katika kuhakikisha huduma za upasuaji zinafanyika kwa ueledi zaidi.